Episodes
Monday Jun 15, 2020
Kiongozi Katika Jamii: Kinachoathiri Jamii Yetu
Monday Jun 15, 2020
Monday Jun 15, 2020
Ni nini inayoweza kubadilisha maisha ya watu na kuleta athari katika jamii? Ni Neno la Mungu. Mgeni wetu, Mchungaji Ngunjiri, anatoa mashauri juu ya nguvu ya Neno kubadili maisha ya watu na tunasihiwa kupanda Neno la Mungu katika huduma zetu na kumwachia Bwana afanye kazi na kuleta matunda kupitia Roho wake na Neno lake.
Version: 20240320
Comments (0)
To leave or reply to comments, please download free Podbean or
No Comments
To leave or reply to comments,
please download free Podbean App.