Episodes

Monday Aug 02, 2021
Maisha ya Umisionari
Monday Aug 02, 2021
Monday Aug 02, 2021
Mmisionari ambaye amekubali wito wa Bwana na kutumwa kwa watu wa lugha na utamaduni tofauti hupaswa kuzoea maisha mapya. Kuna changamoto nyingi, lakini pia kuna baraka kwa sababu ya kutii sauti ya Bwana na kumtegemea Yeye aliyemwita. Katika podcast hii tunaendelea na maongezi yetu na Mmisionari Daudi Likama na kusikia ushuhuda wake juu ya maisha na huduma yake Msumbiji. Bwana atumie ushuhuda wake ili kutuhimiza sisi sote na kufanya masikio yetu tayari kusikia wito wa Bwana kwa ajili yetu.
Version: 20241125
Comments (0)
To leave or reply to comments, please download free Podbean or
No Comments
To leave or reply to comments,
please download free Podbean App.