Episodes

Wednesday Sep 30, 2020
Kwa Njia Gani Tulenge Vijana?
Wednesday Sep 30, 2020
Wednesday Sep 30, 2020
Tumeisha ona kwamba tusipolenga vijana na kuwafikia na Injili tutapoteza nafasi ya kufikia kizazi kijacho na kushindwa kuona mafanikio kanisani. Vijana ni muhimu. Lakini vijana wana mahitaji ya pekee na kuna majaribio mengi sana yanayowavuta siku hizi. Kwa njia gani tunaweza kuwahudumia na kuwafikia kama viongozi kanisani? Katika podcast ya leo na ijayo tutapata mashauri kutoka kwa Mchungaji Abraham Stanslaus na tutaendelea kuhimizwa kuwalenga vijana katika huduma zetu.
Version: 20241125
Comments (0)
To leave or reply to comments, please download free Podbean or
No Comments
To leave or reply to comments,
please download free Podbean App.