Episodes

Thursday Oct 15, 2020
Kufikia Vijana Wasiookoka
Thursday Oct 15, 2020
Thursday Oct 15, 2020
Katika podcast hii ya tatu tunamaliza mkazo wetu juu ya Huduma ya Vijana na kusikia kutoka kwa Ndugu Abraham Stanslaus kuhusu kuwafikia vijana wasiookoka. Haitoshi kuandaa huduma nzuri kanisani na kukaribisha vijana. Ni juu yetu kutafuta vijana wanaohitaji habari njema na kuwapelekea Injili popote walipo. Kwa njia gani? Kiongozi huyu anatushirikisha vile wanavyofanya kanisani kwao.
Version: 20241125
Comments (0)
To leave or reply to comments, please download free Podbean or
No Comments
To leave or reply to comments,
please download free Podbean App.